Steve Nyerere Atoa Mpya...Amuibia Siri Mama Samia Kuhusu Watu Waliokwenye Chama Lakini Wanakihujuku..Soma Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 TUTOE MAGUGU @STEVENYERERE2

MH MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI, CCM, NAKUIBIA SILI, KUNA MTU ANAPITA UKO KWENYE VYUO NA ANAPAMBANA KUPITA KILA CHUO KUWAJAZA UWONGO VIJANA NA KUJIVIKA UKUBWA USIO WAKE, AHADI NYINGI KWA VIJANA WA VYUO, MH MWENYEKITI, LAKINI KIKUBWA MAANDIKO HATARISHI, ZAIDI KABISA KUNA UWONGO MKUBWA WANAOPEWA WANA CCM WENZETU WANAOISHI MAJUU YANI DIASPORA, NA HUKO KUNA FUKUTO KUBWA SANA NA MGAWANYIKO UNAOLETWA NA WANA HARAKATI WAONGO NA WACHONGANISHI, MH MWENYEKITI ,NADHANI UMESHA GUNDUA KUWA WAPO WATU TUNAWAKUMBATIA LAKINI SI WATU WEMA KWENYE CHAMA CHETU, MH MWENYEKITI UNATUONGOZA KUPAMBANA NA UCHUMI WETU NA KUIJENGA TANZANIA ,LAKINI WAPO WANACHAMA WETU WANAPAMBANA KUTUGAWANYISHA NA KUWA TOFAUTI NA MAELEKEZO YA MWENYEKITI, MH MWENYEKITI NI BORA TUBAKI WANACHAMA WATIIFU KULIKO KUWA NA WAPENDA MADARAKA NA WAROHO NA UCHU WASIOHESHIMU MAMLAKA WAKIAMINI WAO NI ZAIDI KULIKO MWENYEKITI, MH MWENYEKITI TUTOE MAGUGU NAOMBA SANA MAANA TUNASHINDWA KUJENGA KWAKUWA MAGUGU NI MENGI SANA MH MWENYEKITI WALE WANAO ONA WANAWEZA KUTENGENEZA CHAMA NDANI YA CHAMA NI SHIDA, AU WANAO AMINI WANAWEZA KWENDA KUTENGENEZA CHAO NDIO MUDA WA KUWAPA MKONO WA KWAHERI, MH MWENYEKITI YANGU NI HAYO TU @samia_suluhu_hassan
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. DO YOU NEED A PERSONAL/BUSINESS/INVESTMENT LOAN? CONTACT US TODAY VIA WhatsApp +19292227023 Email drbenjaminfinance@gmail.com

    HELLO
    Loan Offer Alert For Everyone! Are you financially down and you need an urgent credit/financial assistance? Or are you in need of a loan to start-up/increase your business or buy your dream house. Are you in search of a legit loan? Tired of Seeking Loans and Mortgages? Have you been turned down by your banks? Have you also been scammed once? Have you lost money to scammers or to Binary Options and Cryptocurrency Trading, We will help you recover your lost money and stolen bitcoin by our security FinanceRecovery Team 100% secured, If you are in financial pains consider your financial trauma over. We Offer LOANS from $3,000.00 Min. to $30,000,000.00 Max. at 2% interest rate NO MATTER YOUR CREDIT SCORE. GET YOUR INSTANT LOAN APPROVAL 100% GUARANTEED TODAY VIA WhatsApp:+19292227023 Email: drbenjaminfinance@gmail.com


    ReplyDelete

Top Post Ad