AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MZEE Sunday Mnara, baba mzazi wa Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara ambaye ni ingizo jipya kutoka Simba, amesema kuwa kufungwa kwenye mchezo wa majaribio ni jambo la kawaida kwa kuwa jana kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Zanaco.
Amesema kuwa ukweli ni kwamba uongozi wa Yanga unatakiwa kukaa na benchi la ufundi ili kuweza kuongea naye ili waweze kushinda kwa kuwa hawakustahili kushindwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK