TANESCO Morogoro yaomba radhi wateja wake kwa kukosekana kwa umeme

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Baada ya kuzuka kwa moto katika jengo la kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Msamvu mapema leo asubuhi na kusababisha kukatika kwa umeme Morogoro, Shirika la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Morogoro limeomba radhi wateja wake na kusema Wataalamu wapo eneo la tukio kuhakikisha huduma inarejea kama kawaida

“Maeneo yanayoathirika kwa katizo la umeme ni Manisipaa ya Morogoro, Wilaya ya Mvumero, Kilosa, Mvuha pamoja na maeneo yanayotumia laini inayotoka Msamvu kituo cha kupoozea umeme” TANESCO Morogoro
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad