Tanzania Bado Sana Olimpiki..Mwanariadha Simbu Tuliyokuwa Tunamtegemea Ashindwa Vibaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwariadha wa mbio ndefu kutoka Tanzania 🇹🇿 Alphonce Simbu amekosa medali katika mashindano ya riadha ya Olimpiki huko Tokyo, Japan baada ya kushika nafasi ya 7 katika mbio za 47km.


Mwanariadha huyo amefunguka kuwa alijipanga kushinda mbio hizo japo matokeo yamekuwa mabaya, amewaomba watanzania kujipanga upya kwa ajili ya mashindano mengine

“Tumemaliza mashindano salama, nimeingia kwenye kumi bora ya mbio hizi za Olimpiki, nilikuwa nimedhamiria kuweza kupambana kupata medali lakini sijapata.

 Read More: Nafasi za Ajira Serikalini na Mashiriki Binafsi Nimekuwekea Hapa  

“Naomba turudi nyumbani tuendelee kujipanga kwa mashindano mengine kwa sababu haya yameshapita kwa hiyo tuangalie mapungufu tuliyo nayo alafu tujiandae vizuri kurekebisha yale mapungufu, nashukuru sana,” Alphonce Simbu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad