AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mstahiki Meya wa Manispaa 1ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi David Nkulila amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Agosti 23,2021 wakati akiendelea kupatiwa matibabu kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi jirani na Kanisa la Moravian
R.I.P Nkulila
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK