Uchaguzi Zambia: Rais Edgar Lungu akubali kushindwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Rais wa Zambia wa sasa Edgar Lungu amekubali kushindwa moja kwa moja katika runinga. “Nachukua furasa hii kumpongeza ndugu yangu Hakainde Hichilema kwa kuchaguliwa kuwa rais wa saba wa Zambia”
Bwana Lungu hapo awali alikuwa amedokeza kwamba atapinga matokeo ya uchaguzi baada ya kushutumu upinzani kwa ulaghai.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad