AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Nilikuwa namfahamu tangu akiwa udogoni nafahammu familia yake nafahamu anapokaa ila kuna muda kidogo alioondoka hapa ila juzi juzi akawa anapita hapa na pikipiki lake”- Dereva Taxi
“Ni mtu aliekuwa anajielewa sana, huyu bwana tangu anasoma akaja akaanza kujitegemea kufanya kazi kwasababu hawa baba yao alifariki kwahiyo alivyofariki inasemekana Baba yao aliwaachia mgodi wa dhahabu chunya Mbeya”- Dereva Taxi
“Wapo kama vijana wanne wamejikita kule kwahiyo wengine wanarudi hapa wanamuangalia mama yao kisha wanaondoka, hii ni nyumba ya msajili wamepangisha”- Dereva Taxi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK