google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Umber Lulu Afurahia Kutumiwa Meseji na Nick Minaj... | UDAKU SPECIAL

Umber Lulu Afurahia Kutumiwa Meseji na Nick Minaj...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa bongo Flava @iamamberlulu amedai anampenda sana @nickiminaj na amekuwa akimtumia meseji kwa kipindi kirefu sana bila kujibiwa na mara nyingi amekuwa ni mtu wa kucomment sana kwenye post zake.

Amber katusanua kuwa siku ambayo Nicki Minaj alimDM kwa kuandika “Hi Amber” alitamani hata alie kwa furaha. Amber anaamini ile DM inaweza kuwa msingi wa mahusiano yao na lolote likatokea kuhusu kolabo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad