AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema kati ya watu 164,500 waliojiandikisha kupata chanjo ya Corona, 105,745 tayari wameshapata chanjo hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa ya Prof. Makubi, hiyo ni tathmini iliyofanyika kuanzia Agosti 28 chanjo hiyo ilipozinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, hadi kufikia jana Jumamosi Agosti 7, 2021.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK