AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa huyu ametambuliwa kuwa ni meja jenerali Chris Donahue, kamanda mkuu wa kitengo cha makomando wa kikosi cha 82 ABNDiv, akisbiria ndege ya kusafirisha mizigo ya jeshi la wanahewa la Marekani aina ya C-17 usiku wa kuamkia leo Agosti tarehe 31 kuashiria mwisho wa vita vilivyodumu kwa takriban miaka 20 kati ya Marekani na wapiganaji wa Taliban.
Milio ya risasi ilisikika kote jijini Kabul wapiganaji wa Taliban wakisherehekea “Ushindi dhidi ya majeshi ya Marekani na washirika wake”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK