Unaambiwa YouTube Moto Unawa..Furaha ya Rayvanny Yakatishwa na Ibra wa Konde Gang

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Furaha ya @rayvanny kukaa namba moja on trending YouTube katika maudhui ya jumla imekatishwa ghafla na msanii @ibraah_tz , Rayvanny ambaye alikuwa nafasi ya juu akiwa na Whozu wimbo unaoitwa Chawa ametolewa kwenye nafasi hiyo na Ibrah aliyeingia na wimbo wake wa Jipinde.

Baada ya Rayvanny kumtoa @harmonize_tz on trending kwenye nafasi ya kwanza alishangilia na kujipa jina la Lecturer ikiwa na maana ya Rayvanny ni zaidi ya Harmonize anayejiita Teacher.

Rayanny aliandika👇

“LECTURER 😂😂😂😂😂😂 NUMBER UNOOOO 😂😂😂 FUKUZAAAAAAAAA CHAWAAAAAAAAA
So proud of you whozu_ 🔥🔥🔥🔥🔥🔥”

Kwasasa Lecturer bado haamini kilichotokea🙌
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad