Utaratibu wa Kuendesha Bunge Wabadilishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




BUNGE leo Agosti 31, 2021 limepunguza muda wa kukaa bungeni na sasa litakuwa likianza saa 8 mchana na kuisha saa 1:00 usiku ikiwa ni hatua ya kujikinga na ugonjwa wa Uviko – 19.

“Kwa kuzingatia azima tuliyonayo ya kujikinga na Uviko 19…tutafupisha masaa ya kufanya kazi, vikao vya bunge vitaanza kuanzia kesho saa nane mchana na kuendelea hadi saa moja usiku bunge litakapoahirishwa hadi siku inayofuata saa nane ya mchana tena… Kipindi cha maswali na majibu kitatumia muda wa dakika 60 badala ya dakika 90”- Spika wa Bunge Job Ndugai amesema

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad