Wanafunzi wawili wafariki kwa kugongwa na gari....Jeshi la Polisi Lamtaka Dereva Ajisalimishe Haraka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


 Watu wawili ambao ni wanafunzi wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Scania wakiwa stendi maeneo ya Afrikana barabara ya Bagamoyo Wilaya ya Kinondoni.

Taarifa iliyotolewa Jumatatu Agosti 9, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro imeeleza kuwa ajali hiyo imetokea alfajiri saa 11:15 alfajiri ambapo dereva alikimbia baada ya ajali hiyo kutokea.





-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad