AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Joe Biden amesema Marekani itaendelea kuwaondoa watu Kabul licha ya shambulio lililosababisha vifo vya Wanajeshi hao. Kwa mujibu wa Kituo cha Al Jazeera, Raia wapatao 72 wamepoteza maisha
Ameahidi kulipiza kisasi kufuatia kitendo hicho na hawatosahau wala kusamehe na wahusika watasakwa. Licha ya kutolewa tahadhari ya kutokea shambulio, idadi kubwa ya watu walikusanyika eneo la Uwanja wa Ndege wa Kabul wakitumaini kuruhusiwa kupanda Ndege
Hadi sasa zaidi ya watu 100,000 wameshaondolewa Kabul wakiwemo 66,000 kutoka Marekani
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK