Wanajeshi 13 wa Marekani Wauawa Kabul Afghanistan..Biden Adai Kulipiza Kisasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Joe Biden amesema Marekani itaendelea kuwaondoa watu Kabul licha ya shambulio lililosababisha vifo vya Wanajeshi hao. Kwa mujibu wa Kituo cha Al Jazeera, Raia wapatao 72 wamepoteza maisha

Ameahidi kulipiza kisasi kufuatia kitendo hicho na hawatosahau wala kusamehe na wahusika watasakwa. Licha ya kutolewa tahadhari ya kutokea shambulio, idadi kubwa ya watu walikusanyika eneo la Uwanja wa Ndege wa Kabul wakitumaini kuruhusiwa kupanda Ndege

Hadi sasa zaidi ya watu 100,000 wameshaondolewa Kabul wakiwemo 66,000 kutoka Marekani

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad