"Wanaume wa kibongo sitaki mnitongoze" - Shamsa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni headlines za staa wa filamu Shamsa Ford ambaye amekataa kutongozwa na wanaume wa kibongo kwa sababu hawana pesa, hawana heshima, wahuni, na waongo.

Shamsa Ford amefunguka hilo kupitia WhatsApp status ambapo ameandika ujumbe ufuatao baada ya kupost picha ya rafiki yake Anita akiwa na mpenzi wake.

"Una bahati Anita, una mwanaume  Billionaire, anakupa unachotaka , anakulea kama malkia, anakupenda na kukuheshimu aisee mshikilie, njoo Bongo tukuhadithie wanaume wetu ukiwaomba pesa wananuna" 

"Yakiwa hayana eti yanasema nakupima, sasa unampima then shida zake ziende wapi, wahuni, waongo, hayana heshima.Wanaume wa kibongo msinitongoze sitaki, itabidi na mimi nivuke Tz nikatafute mwanaume kama wako" ameongeza 

Shamsa Ford kwenye mahusiano yake ya nyuma aliwahi kuwa kwenye ndoa na Chidi Mapenzi pamoja na msanii Nay wa Mitego.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad