google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Watu Sita Wamejeruhiwa Katika Tukio la Ubalozi wa Ufaransa...Huku Wanne Wakiwa Hatunao Tena | UDAKU SPECIAL

Watu Sita Wamejeruhiwa Katika Tukio la Ubalozi wa Ufaransa...Huku Wanne Wakiwa Hatunao Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la Polisi limesema idadi ya Watu waliouwawa na Mtu mwenye Bunduki aliekuwa akifyatua risasi ovyo karibu na Ubalozi wa Ufaransa - Dar es salaam ni Watu wanne ambapo Watatu ni Polisi na mmoja ni Mlinzi wa Kampuni binafsi ya Ulinzi

Tukio limetokea leo, Agosti 25, 2021 katika makutano ya barabara ya Kenyatta na Kinondoni wakati Askari wakiwa kazini alitokea Mtu akawashambulia kwa Bastola na kuchukua Bunduki za Askari hao na kuanza kurusha risasi ovyo

Ukiachia marehemu hao kuna Watu 6 ambao wamejeruhiwa kwenye tukio hili na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad