Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu Afunguka Utata wa Wakurugenzi Wawili Katika Uteuzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewataka Wakurugenzi wote wateule wakaripoti kwenye vituo vyao vya kazi kupitia kwa Makatibu Tawala wa Mikoa ndani ya siku tano kuanzia kesho na makabidhiano ya Ofisi yafanyike mara moja.

“Wakurugenzi wawili ambao majina yao yameonekana kutokea kwenye maeneo zaidi ya moja wataripoti kwenye kituo ambacho jina limeonekana kwa mara ya kwanza kwenye orodha ya uteuzi, aidha pale palipojirudia jina patatambulika Kama nafasi wazi na itajazwa hapo baadaye”——— Ummy Mwalimu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad