Yanga yamtambulisha kipa mwingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





UONGOZI wa Yanga umemtambulisha nyota mpya ambaye ni kipa kutoka Aigel Noir.
Ni Erick Johola ambaye ni raia wa Tanzania na alionekana na Yanga katika siku ya Mwananchi.

Nyota huyo anakuwa ni kipa namba mbili baada ya kipa namba moja Diarra Djigui kutambulishwa ndani ya kikosi hicho na ni dili la miaka miwili ambalo amesaini.

Anakuja kuchukua nafasi ya Farouk Shikalo ambaye dili lake limeisha sawa na Metacha Mnata ambapo makipa hawa wote wawili hawajaongezewa kandarasi mpya.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad