AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga imesitisha ratiba ya kambi yao ya nchini Morocco na kutangaza rasmi wanarejea jijini Dar es Salaam kumalizia maandalizi yao.
Maamuzi hayo yametangazwa na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, mhandisi Hersi Said akisema zipo sababu mbalimbali zilizowapelekea kufanya maamuzi hayo.
Hersi amesema kumeguka kwa baadhi ya wachezaji wao ambao wanatakiwa kujiunga na timu za taifa ndio sababu ya kwanza ambapo jumla ya wachezaji wao nane kuitwa timu za taifa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK