Young Dee "Nilikaa na Namba ya Simu ya Mr Blue Kwenye Karatasi Kwa Miaka Minne"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Katika Historia ya Young Dee Kwenye Muziki jambo ambalo hawezi kusahau ni mwanzo wa kupata nafasi ya kurekodi ambayo ilimchukua muda mpaka kurekodi wimbo wake wa kwanza .

Young Dee anasema alikuwa anamfata Mr Blue Wakati ni mwanafunzi kumuelezea kwamba anakipaji akiwa na wenzake, Byser alimsikiliza na kuumpa siku ya kwenda kuonana kwa mara nyingine na kumuandikia namba ya simu kwenye karatasi ambayo kwa mujibu wake alikaa nayo miaka 4 licha ya kuwa ameishika kichwani lakini karatasi hiyo aliitunza .

Mr Blue alifanikiwa kumfungulia Dunia kwa kumkutanisha na Dully Sykes na Njia ya kupata upenyo kwenye muziki ikaanza japo alikaa kama mwaka mmoja mpaka kufanikiwa kurekodi wimbo .

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad