AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Idadi hiyo ya Watu inatajwa kuwa zaidi ya mara tano ya uwezo wa Ndege kubeba abiria na moja ya idadi kubwa zaidi kuwahi kubebwa katika ndege hiyo aina ya Boeing C-17 Globemaster III
Waliofanikiwa kuingia ndani walitumia mlango ambao haukufungwa vizuri wakati Ndege hiyo ikiwa katika Uwanja wa Ndege Mjini #Kabul
Kujaa kwa Watu katika Uwanja huo kulitokana na taarifa za uzushi kusambaa Mjini Kabul kuwa Jeshi la Marekani linatoa usafiri wa bure kuwapeleka Wananchi wa #Afghanistan kwenda Marekani na #Canada.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK