Zaidi wa Watu 600 Wapanda Ndege ya Marekani Kwa Nguvu Uko Afaghanistani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Idadi hiyo ya Watu inatajwa kuwa zaidi ya mara tano ya uwezo wa Ndege kubeba abiria na moja ya idadi kubwa zaidi kuwahi kubebwa katika ndege hiyo aina ya Boeing C-17 Globemaster III

Waliofanikiwa kuingia ndani walitumia mlango ambao haukufungwa vizuri wakati Ndege hiyo ikiwa katika Uwanja wa Ndege Mjini #Kabul

Kujaa kwa Watu katika Uwanja huo kulitokana na taarifa za uzushi kusambaa Mjini Kabul kuwa Jeshi la Marekani linatoa usafiri wa bure kuwapeleka Wananchi wa #Afghanistan kwenda Marekani na #Canada.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad