Zuchu Apewe Heshima Yake, Avunja Rekodi Hii na Kumfikia Diamond Platnumz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni msanii @diamondplatnumz peke yake Tanzania mwenye wimbo wenye views zaidi ya milioni 50 YouTube ambao hajashirikiana na mtu. Wimbo huo ni Sikomi wenye zaidi ya views milioni 51 ambao ulitoka rasmi miaka mitatu nyuma
Kwa muda mfupi toka atambulishwe rasmi kwenye game ya Bongo Flava,msanii @officialzuchu amefanikiwa kufikisha views milioni 50 YouTube kupitia wimbo wake wa Sukari uliotoka miezi 6 nyuma ambao ameimba peke yake.

Hii ni ishara kuwa anaenda kuwa msanii wa kwanza Tanzania mwenye wimbo ambao si collabo wenye views nyingi YouTube kuliko msanii yeyote kwa miezi kadhaa mbele.👏👏


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad