Afariki Dunia Kwa Presha Baada ya Kuzinduka Kutoka Kwenye Koma na Kukuta Msiba Wake Wakitaka Kumzika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


UNAAMBIWA Mwanamke wa Urusi aliyekuwa anaitwa Fagilu Mukhametzyanov alifariki kwa presha akiwa kwenye msiba wake mwenyewe, ni kwamba akiwa Hospitali Daktari alisema ameshafariki hivyo shughuli za mazishi zikaandaliwa lakini kumbe Daktari alikosea kwani Fagilu alikua hai.

Siku ya kuzika akiwa kwenye Jeneza alipata fahamu na kushangaa kukuta umati nyumbani kwao Ndugu, Jamaa na Marafiki wakilia kwa uchungu alipouliza akaambiwa wanajua sababu waliambiwa yeye amefariki hapohapo presha ikapanda kwa mshtuko na akafariki kweli.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad