AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Raia mmoja wa #Vietnam, Le Van Tri, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano na faini ya Dola 880 (Takriban Tsh. Milioni 2) kwa kukiuka masharti ya #COVID19 na kusambaza Ugonjwa kwa watu 8 ambapo mmoja amefariki dunia
Mwanzoni mwa Julai, mshtakiwa alisafiri kwa kutumia pikipiki kutoka Mji wa Ho Chi Minh mpaka Ca Mau, ikielezwa alidanganya kuhusu hali yake kiafya na kusambaza Virusi kwa Wanafamilia na Wafanyakazi wa Kituo cha Ustawi alichotembelea
Mbali na kuweka masharti makali maambukizi yamekuwa yakiongezeka kwa kasi Nchini humo tangu mwezi Juni baada ya kuibuka Kirusi cha #Delta
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK