Askofu Gwajina Ajipanga Kukiwasha Tena Jumapili?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




WAPO wanaosema kuwa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe, Jumapili hii huenda akakiwasha tena kanisani kuzungumzia Chanjo kwa vile anatajwa kuwa siyo mtu muoga. Lakini mimi kabla ya yote namuomba asome maandiko haya kwenye Kitabu ta Warumi 13: 1-7.

1 Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu.

Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe.

Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale wanaotenda mema bali wale wanaotenda mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye atakusifu.

Kwa maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza adhabu juu ya watenda mabaya.

Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa ajili ya dhamiri.

Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala.

Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mamlaka zimewekwa na Mungu na niyingine zimewekwa na wao si Mungu. Acheni kumsingizia Mungu. Hapo ni Shetani 100%. Hawezi kuendeleza huo ujinga wenu. Chanjo ni hiari na mtu anba uhuru wa kusema.Kwa kuwa yupo CCM asiseme kitu. HAPANA. Hakuna mtu wa kuburuzwa hapa. Gwajima nakupa big up. Mimi nipo nyuma yako na wengine wengi sana.

    ReplyDelete

Top Post Ad