Baba Levo Amtupia Dongo Bondia Hassan Mwakinyo "Anapigana na Wazee"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamuziki na mtangazaji wa kipindi cha Mgahawa cha Wasafi fM @officialbabalevo ametupa maneno yanayo tafsiriwa kama kijembe kwa Bondia #HassanMwakinyo baada ya pambano lake la jana.



Kupitia insta story yake #BabaLevo ame share ujumbe huo, ikiwa ni baada ya bondia #HassanMwakinyo kushinda pambano lake dhidi ya bondia #JuliusIndongo kutoka Namibia kwa TKO kwenye round ya 4 tu ya pambano hilo na kutetea ubingwa wake wa Afrika (ABU) uzito wa Super Welter.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad