AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamziki Mahili Hapa Tanzania Billnass Ametupilia Mbali Skendo Zinazo Sema Kuwa Yeye na Nandy The African Princess Kuwa Wapo Pamoja Tena.
Hiii Imesababishwa Baada ya Billnass kupanda kwenye Stage Wakati Nandy Akiendelea Kutoa Show yake weekend Iliyopita kwenye Tamasha la Nandy Festival Na Kupiga Show Hiyo Pamoja.
"Issue Ya Nandy Sitaki Kuizungumzia Kabisa Mimi Nilifanya Vile Ni Kama Kumuunga Mkono Tuuuu, Kuhusu Mahusiano Yetu hayo Siwezi Kuzungumzia kwa sasa, Ila Naombeni Tuuu Msimuingize Mwanangu kwenye Hiii Issue Yule Ni Malaika Sipendi Kabisa"-Ameongea Billnass
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK