Bondia Mwakinyo APANDA Viwango vya Ubora Duniani..Kina Kiduku Mtaambia Nini Watu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bondia wa #Tanzania, Hassan Mwakinyo amepanda kutoka nafasi ya 24 hadi nafasi ya 13 katika viwango vya ubora duniani, huku akiwa namba moja Afrika

Mwakinyo anashikilia Ubingwa wa Afrika (ABU) kwa uzito wa Super Welter ambao aliutetea Septemba 3 baada ya kumtwanga Julius Indongo kutoka #Namibia kwa TKO

Rekodi hizo zinaandikwa na mtandao maarufu wa Boxing duniani, Boxrec ambapo Mwakinyo ametumia ukurasa wake wa Twitter kuwashukuru mashabiki wake


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad