Bosi mpya Man United anakuja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Manchester United inatarajia kumtangaza bosi mpya atakayerithi nafasi ya Ed Woodward ndani ya klabu hiyo pendwa duniani.



Woodward mwenye umri wa miaka 49, anatarajiwa kuachia kiti hiko kutokana na kukosolewa vikali juu ya klabu hiyo kutoka England kutaka kushiriki michuano mipya ya European Super League.

Kufuatia ukosoaji huo, CEO huyo wa United alitangaza kung’atuka ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na mrithi wake akitarajiwa kuwa, Richard Arnold kwa mujibu wa Sky News.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad