Breaking: Watano Wafariki Kwenye Ajali King’ori Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Watu watano wamefariki dunia kwenye ajali eneo la King’ori Arusha baada ya magari mawili ya mizigo kugongana uso kwa uso, waliofariki ni waliokuwemo kwenye Canter ambao ni Abiria wawili na Dereva mmoja huku Dereva na Kondakta wa fuso pia wakifariki.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad