Cheed Apata Hofu Kurudi Kwenye Muziki, Harmonize Amtuliza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




September 24 ndio siku rasmi ya msanii tokea label ya Konde Gang, @officialcheed kurudi kwenye Game ya Bongo Flava. Msanii huyo amekaa mwaka mmoja na miezi kadhaa bila kutoa Ngoma yake yoyote ile na ukimya huo ulianza toka Mwezi April 2020 alipoondoka rasmi Kings Music pamoja na jamaa yake @officialkilly_tz .

@harmonize_tz kupitia ukurasa wake wa instagram, katusanua kuwa ukimya wa muda mrefu umempa hofu Cheed akiamini atatumia nguvu kubwa sana kusukuma ngoma zake punde tu atavyorudi kwenye game, kitu ambacho Harmonize amedai haiwezi kiwa hivyo maana wakati sahihi ni wa Mungu.

Game imebadilika muda umepita,wasanii wengi wameingia kwenye hili game. Je, Cheed atarudi kama awali au atasanda? Japo binafsi sina shaka nae..,vipi kwa upande wako?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad