Dababy amefanya freestyle kwenye beat ya Wizkid Essence

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rapa anayefanya vizuri kwa sasa duniani @dababy ameamua kuitumia beat ya @wizkidayo #ESSENCE kwa freestyle

Ngoma hii ya @wizkidayo #ESSENCE imepata nguvu sana diniani baada ya @justinbieber kuwekwa kwenye #Remix ambapo amemuweka pia @temsbaby pia kutoka Nigeria.

Ikumbukwe kuwa siku ya jana mtandao wa @shazam uliweka kuwa #ESSENCE ndio wimbo namba moja unaotafutwa sana kupitia mtandao huo nchini Marekani.

Dondosha comment yako hapa chini tuambie jamaa kwa rate ya ngapi kati ya 10/10…?


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad