DC Msando atangaza kukatwa Mshahara, ataja sababu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando amesema anakatwa Milioni 2 na laki nane kati ya milioni tatu na laki moja kutoka kwenye Mshahara wake kama rejesho baada ya kukopa kiasi cha Shilingi milioni 106 katika moja ya taasisi ya Fedha ili kutengeneza vibanda vya Machinga.

“Mheshimiwa Rais aliona mimi inmpendeza kuniteua kuwa Mkuu wa Wilaya na mimi kama Mkuu wa Wilaya nikaona nikope benki kwa kutumia mshahara wangu wote kwa muda nitakaotumikia”- DC Msando
 
“Wakanipa Shilingi Milioni 106 nimekopa kwa niaba ya Machinga na katika pesa hiyo niliyoikopa na ndio nimekuja  kumalizia mabanda haya ya wamachinga, imani yangu ni kwamba Machinga lazima tumnyajue”- DC Msando

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad