Diamond, Hamisa na Fayhma Wang’ara Afrika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MWANAMUZIKI wa Tanzania, Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameibuka Msanii Bora wa Mwaka Afrika katika Tuzo za Scream All Youth Awards 2021 zilizotolewanchini Nigeria, tuzo hizo hutolewa kwa vijana wanaofanya vizuri katika sekta tofauti Afrika.


Pia wanamitindo wa Tanzania, Hamisa Mobeto na mrembo Fahyma, wote wameshinda tuzo hizo katika Kipengele cha Brand Influencer of the Year (Hamisa Mobeto) na Social Media influencer (Fahyma)
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad