DR. MWIGULU: TUNAANGALIA NAMNA YA KUTOZA ‘DIGITAL SERVICES TAX’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema inaangaliwa namna ya kutoza Kodi kwa Huduma Zinazotolewa Mitandaoni

Amesema kwasasa Huduma na Biashara nyingi zinaamia mtandaoni hivyo kuna haja ya kukusanya kodi kutoka kwenye biashara hizo ambazo kwasasa hazitozwi Kodi

Amesema inaangaliwa kutoka kwa nchi nyingine ambazo zimefanikiwa kwa kutoza kodi za aina hiyo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad