google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Gari la Marehemu Tupac Shakur lauzwa bilioni 4 | UDAKU SPECIAL

Gari la Marehemu Tupac Shakur lauzwa bilioni 4

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Gari la Marehemu Tupac Shakur ambalo alikuwa akilitumia yapata miaka 25 iliyopita aina ya BMW 750IL la mwaka 1996 linauzwa kwa dola milioni 1.7 za Marekani ambazo ni takribani Bilioni 4 za Kitanzania.

Gari hilo ambalo alipigwa nayo risasi akiwa ndani yake usiku wa Septemba 7, mwaka 1996 na kupelekea kufariki dunia siku sita baadaye kufuatia shambulio hilo ambalo liliruhusu risasi nne kuingia mwilini mwake, akiwa na mtayarishaji Suge Knight.

Kwasasa liko kwenye eneo la maonyesho ya magari ya watu maarufu huko Las Vegas limekarabatiwa, mashimo yaliyotokana na risasi yamezibwa na kurudishwa katika hali yake mpya.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad