Haji Manara "Afrika Mashariki yote hii kwa Sasa Hakuna Kiungo Fundi wa Mbele Kumzidi Fei Toto"




Afrika Mashariki yote hii kwa sasa hakuna kiungo fundi wa mbele kumzidi Fei Toto, ni kama unamwangalia na kumsikiliza Lecture wa University kubwa akidarsisha.

Iwe ni dhambi kwetu kumwita jina lake bila kuanza na neno Dr

Yes ni Dr Fesal Salum, fupisha na umwite Dr Fei

Mungu wangu na Mtume jamani, huyo Juma Shabani sasa kuliko Snake kuliko ktk nchi yake ya pembeni mwa uwanja.

Tutaua Watu mwaka huu


______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwa mpira gani labda nyie wa tz mnajifanya mnajuwa zana kumbe mnasumbuliwa na homa ya kuongea hivi uyu msukule kabla ajaropoka hivi hana fahamu kuwa Uganda Etiópia Kenya rwanda zipo kwenye hii ukanda inamana Kátika Izi hawapo viungo hatar kunzidi uyu feiutopolo kwa mpira huu wakwamgalia timu mbili tu Simba na yanga tz mnachelewa,🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 kalzii da zamba Kutoka Nampula mozambique

    ReplyDelete

Below Post Ad