Haji Manara na Morrison Hapatoshi, Waendelea Kurushiana Vijembe Huko Instagram

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Anaandika @hajismanara)

“ @bm3gh Ningependa kujua umewahi kunisikia mimi nikiongelea kuhusu viongozi wako? Je ni dhambi mimi kuwasifia viongozi wangu mwenyewe? Mara ngapi nimekusifia wewe hata wakati ambao hukustahili? Nimekutukuza (kukusifia) kila mahali hata kwenye matukio yako machafu!!

“Nilikuwa upande wako hata pale ulipokuwa haupo sahihi! Kwanini nisiwasifie viongozi wangu?
Tafadhali usilete ‘ujinga’ wako hapa. Kama huwezi kujihusisha na mpira, unaweza kuja kujiunga upande wetu,” @hajismanara.

Hapa chini nimekuwekea mambo yalipoanzia:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad