Harmonize Matatani Tena Kupita na Mistari ya Dully Kwenye Nyimbo yake Mpya...Dully Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Reposted from @sajomedia DULLY ABAINISHA ISHU YA HAKI MILIKI DHIDI YA HARMONIZE.


Kwenye wimbo wa @harmonize_tz unaoitwa Teacher, kuna baadhi ya mistari ambayo ameichukua kutoka kwenye wimbo wa msanii Dully Sykes unaoitwa Bongo Flava. Hasa Dully amebainisha kuwa suala hilo lipo mikononi mwa wanasheria wake na ameambiwa hasilitolee ufafanuzi zaidi.

Uwenda tunaweza shuhudia Dully akimchapa faini konde boy kwa madai ya Haki miliki na inaonyesha hadi suala hili kufika mikononi mwa wanasheria ni wazi hakukuwa na makubaliano yoyote kati yao.

Japo Dully amethibitisha kuwa hana tofauti na msanii yeyote yule na anaweza fanya kazi na Harmonize lakini alichokiongea kina uwalakini na ukizingatia toka Harmonize atoke WCB ndipo ukaribu wake na Dully Sykes ukapungua.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad