Hatari..Watu 12 Wauawa na Kiboko Bwawani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jumla ya watu 12 wameuawa na wanyama aina ya Kiboko katika kipindi cha mwezi Februari 2020 hadi mwezi Agosti mwaka huu katika Bwawa la Mtera wakati wakifanya shughuli za uvuvi kwenye bwawa hilo.

Mkuu wa wilaya ya Iringa Mohammed Hassan Moyo, ametoa taarifa hiyo wakati akipokea malalamika kutoka kwa wavuvi wanaovua samaki katika bwawa hilo la Mtera.

Kufuatia hali hiyo baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli za uvuvi katika bwawa la hilo wameiomba serikali kuvuna wanyama hao ili kupunguza migongano baina yao na wanyama hao ambao wamekuwa wakihatarisha maisha ya wavuvi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad