Hatimaye Timu ya Simba yatambulisha Jezi Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kaimu Afisa habari wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga, amesema kuwa kuanzia leo, Septemba 3, 2021 jezi za simba zinapatikana katika maduka yote ya vunja bei.

“Maombi ya jezi kutoka kwa mashabiki wa Simba yamekuwa makubwa sana na uongozi umeona ni vyema kuwasikiliza. Natangaza rasmi kwamba kuanzia sasa jezi mpya za Simba zinapatikana sasa kwenye maduka ya Vunja Bei nchi nzima."- Ezekiel Kamwaga.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad