Historia Fupi ya Zacharia Hans Poppe Alivyotaka Kumpindua Mwalimu Nyerere

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


#HISTORIA: Kama anavyotambulishwa, jina lake ni Zacharia Hans Poppe, ambaye alizaliwa mwaka 1956 mjini Dar es Salaam na kukulia mkoani Iringa.
-
Baada ya kumaliza elimu ya sekondari, Zacharia alijiunga na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambako alifikia cheo cha Kapteni
-
Kabla ya kuachishwa kazi na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela, kwa tuhuma za uhaini, dhidi ya serikali ya awamu ya kwanza, ya hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1983.
-
Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene Maganga, Luteni vitalis Mapunda, Luteni Kajaji Badru, Captain Hatibu Gandhi(Hatty McGee), Luteni Mbogolo, Captain Christopher Kadego, Luteni Pius Lugangila. Maafisa usalama wakiongozwa na comandoo Mabere Nyaucho Marando
-
waliwashambaratisha Kabla hawajawampindua Nyerere. inasemekana baada ya kukamatwa (isipokuwa Pius Lugangila alietoroka) walipelekwa ikulu na Nyerere alimkabidhi Hans Pope bunduki amuue ile awe rais yy Kama alivohitaji, Hans Pope alilia machoz na kugaragara chini huku akiomba msamaha,
-
Nyerere aliwasamehe lkn walifungwa jela maisha, Hans Pope akiwa Gereza kuu Butimba ndie alieanzisha ligi kuu Gerezani huku akiunda timu ya Simba ya Gerezani.
-
waliachiwa 1995 Wkt rais Ally Hassan Mwinyi akimaliza muda wake. Kumbuka Hans Pope babake ni Mgiriki na mamake ni Mhehe wa Ipogoro lringa na ndo maana amekuwa akiidhamini Lipuli FC.

Kama zinavyosema sheria za nchi, mtu aliyehukumiwa kifungo, hana haki ya kugombea wadhifa wowote au kuajiriwa tena, Zacharia naye hakuweza kurejea kazini, badala yake akaamua kujiajiri, kwa kuanzisha miradi yake mwenyewe, ambayo leo ikiwa ni miaka 17 baadaye, miradi hiyo imesimama imara.

HANS POPE NA SIMBA SC:

Alianza kuipenda Simba SC mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1970, akiwa kijana mdogo na zaidi mwenyewe anasema,

Mechi ambayo ilimfanya ajitamke rasmi yeye ni Simba damu ilikuwa dhidi ya wapinzani wa jadi, Yanga Juni 23, mwaka 1973, ambayo Wekundu wa Msimbazi, walishinda 1-0, bao pekee la Haidari Abeid ‘Muchacho’ dakika ya 68.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad