Humphrey Polepole 'Watu Wanalazimishwa Kuvaa Barakoa'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Humphrey Polepole amesema amepokea Malalamiko mengi Watu wakilalamika kuwa wanalazimishwa kuvaa Barakoa katika Usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi.

Amesema kuna Mazingira ambayo yanawalazimisha watu kutovaa Barakoa je wanyimwe Haki ya Usafiri wa Mabasi hayo? Mfano Watu wenye Matatizo ya Pumu na Matatizo ya Moyo hawapaswi kuvaa Barakoa kuwalazimisha sio Haki.

Polepole ameitaka Serikali ya CCM kulitazama jambo hili kwa Jicho jema kabisa kwani kulazimisha Watu kuvaa Barakoa ni kuvunja Haki na Uhuru wao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hata kama ni udaku, jitahidi basi kujaza vizuri habari yako.Kasema wapi, mtandao gani? Alihojiwa na nani? Vitu kama hivyo

    ReplyDelete

Top Post Ad