Jaji Atoa Dakika za Mapumziko Kesi ya Mbowe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Jaji Mustapha Siyani anayesikiliza kesi ya mbowe na wenzake ametoa dakika 2 kwa ajili ya mapumziko, kuwapa nafasi Mawakili wa upande wa utetezi kupitia hati ya maelezo iliyowasilishwa na Shaidi wa kwanza ACP Ramadhani Kingai.

 

Baadae Mawakili wa utetezi wakaeleza Mahakama kuwa Hati ya Maelezo ina matatizo; kwamba Maelezo yamechukuliwa nje ya muda.

 

Mawakili upande wa utetezi wamewasilisha mapingamizi mawili; #Mosi kuhusu jambo la kisheria, kuahirishwa kwa kesi ya msingi mpaka kuamuliwa kwa pingamizi la pili. Pingamizi la #Pili ni namna ushaidi ulivyopatikana.

 

Jaji amekubaliana na Mawakili wanaomtetea Mbowe na wenzake, juu ya kusitisha usikilizwaji wa kesi ya msingi mpaka mapingamizi yaliyowasilishwa na upande wa utetezi kusikilizwa. Kesi imeahairishwa mpaka leo saa nane mchana, ambapo shauri hilo dogo litasikilizwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad