AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbwana Samatta ametangazwa kujiunga na klabu ya Royal Antwerp ya Ubelgiji kwa mkopo akitokea Fenerbahçe S.K ya Uturuki. Safari yake hii imepokelewa kwa tafsiri tofauti.
@oscaroscarjr yeye anaamini kwamba Samatta anashuka lakini kushuka kwake anashuka akiwa amefanikiwa kwenye kile alichokipigania kwa upande mwingine @maestro_ibrahim anasema wakati akiwa Genk alipokea ofa nyingi za vilabu vingine pengine ingekuwa vyema angeanzia huko kabla ya kwenda kwenye ligi ya ushindani mkubwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK