Kampuni Apple Yasitisha Kukagua Picha zenye Maudhui ya Unyanyasaji wa Kingono kwa Watoto Kwenye Simu za Watumiaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MAREKANI: Kampuni ya Apple imesema mipango ya Teknolojia yake ya kukagua picha zenye maudhui ya unyanyasaji wa kingono kwa Watoto kwa Watumiaji wa simu za #iPhone imesogezwa mbele

Hatua hiyo imekuja kufuatia ukosoaji mkubwa wa Teknolojia hiyo kutoka Makundi mbalimbali ambayo yaliibua wasiwasi kuwa mfumo huo unaweza kutumiwa vibaya na Serikali zenye mabavu

Katika taarifa yake, #Apple imesema watachukua muda zaidi katika miezi ijayo kufanya mabadiliko kabla ya kuruhusu Teknolojia hiyo ambayo imesisitiza ni muhimu kwa usalama wa Watoto


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad