AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAREKANI: Kampuni ya Apple imesema mipango ya Teknolojia yake ya kukagua picha zenye maudhui ya unyanyasaji wa kingono kwa Watoto kwa Watumiaji wa simu za #iPhone imesogezwa mbele
Hatua hiyo imekuja kufuatia ukosoaji mkubwa wa Teknolojia hiyo kutoka Makundi mbalimbali ambayo yaliibua wasiwasi kuwa mfumo huo unaweza kutumiwa vibaya na Serikali zenye mabavu
Katika taarifa yake, #Apple imesema watachukua muda zaidi katika miezi ijayo kufanya mabadiliko kabla ya kuruhusu Teknolojia hiyo ambayo imesisitiza ni muhimu kwa usalama wa Watoto
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK