AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C ameamua kuanika majibu yake ya vipimo vya virusi vya Ukimwi alivyopima hivi karibuni.
Ray C ambaye aliwahi kutamba na vibao vikali kama vile ‘Mapenzi matamu’, ‘Na wewe milele’ na vinginevyo ameweka wazi kuwa hana maambukizi ya virusi vya Ukimwi.
Kupitia insta story yake, Ray C ame-share video fupi pamoja na picha inayoonesha cheti cha majibu ya kipimo cha ukimwi kilichoonesha kuwa hana maambukizi hayo, na kuwasihi watu kujipenda.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK