Kumekucha..Ray C Apimwa Ukimwi Majibu Haya Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C ameamua kuanika majibu yake ya vipimo vya virusi vya Ukimwi alivyopima hivi karibuni.


Ray C ambaye aliwahi kutamba na vibao vikali kama vile ‘Mapenzi matamu’, ‘Na wewe milele’ na vinginevyo ameweka wazi kuwa hana maambukizi ya virusi vya Ukimwi.

Kupitia insta story yake, Ray C ame-share video fupi pamoja na picha inayoonesha cheti cha majibu ya kipimo cha ukimwi kilichoonesha kuwa hana maambukizi hayo, na kuwasihi watu kujipenda.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad