Kutana na Mwanamke Aliyedanganya Kuwa ni Mwanaume Kwa Miaka 16 ili Aweze Kuchimba Madini Mererani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Pili Hussein, Mwanamama aliyedanganya Jinsia yake kwa miaka 16 na kujiita mwanaume "Mjomba Hussein" ili aweze Kupambana katika Uchumi,

Mjomba Hussein alishiriki Uchimbaji wa Madini ya Tanzanite Mirerani kwa miaka 16 akidanganya Jinsia yake kutokana na imani potofu iliyokuwepo kuwa mwanamke akiingia mgodini Madini yanajificha

Kwa sasa anamiliki mgodi wake huko Mirerani na wanawake wanashiriki shuguli zote za uchimbaji

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad