Lemutuz Afunguka Kumshauri Hans Pope Kuandika Kitabu Kuhusu Aliyopitia Sakata la Kutaka Kumpindua Rais Nyerere

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


LE SUPERBRAND: ZE AKILI ZANGU ZA ASUBUHI LIVE; CRYING FOR HANSPOPE! KIFO cha Hanspope kinatakiwa kutuumiza sana wale wote WAPENZI WA ELIMU YA VITABU kwa sababu knowing Marehemu as I did alikuwa ni KITABU TOSHA CHA MAANA YA MAPINDUZI I mean a "TOTAL REVOLUTION" kwa sababu hata alipokamatwa HAKUPINDISHA MANENO KWA MAMLAKA..ninakumbuka siku alipoamua kunionyesha ALAMA ZA PINGU MIKONONI NA MIGUUNI na the FACTS that waliosomamia ile Operation WAHEHE WENZIWE Balozi Mahiga ambaye kwa bahati mbaya sana alifanya makosa zile INFORMATION zikamfikia BABA WA TAIFA ambaye aliwahamisha Ubalozi wa Canada wahusika 2 Balozi Mahiga na (MWENZAKE).....Hanspope aliniambia BABA WA TAIFA ALIWAFOKEA SANA KWAMBA kwanini mnamfunga Pingu mtu ambaye tayari mpo naye Jela? ....Binafsi niliwahi kumbembeleza sana kuhusu kuandika KITABU CHA ILE EXPERIENCE kwa sabbau kwenu VIJANA WADOGO MSIOELEWA Hanspope aliniambia Baba wa Taifa alipopewa FACTS ZA DETAILS ZOTE ZA MAPINDUZI YA KINA HANSPOPE alitishika sana na ALIOGOPA SANA kwa sababu mmoja wa washiriki wa ule mpango ALIKUWA NI RAFIKI NA MSHAURI WA BABA WA TAIFA wa karibu sana kwamba kila jioni walikuwa wakikutana kunywa kahawa pamoja...na HANSPOPE baada ya kutoka Jela alipokutana na Baba wa Taifa pamoja na kumuomba Radhi LAKINI HAKUMZUNGUKA KABISA KWENYE NIA NA MADHUMUNI YA LENGO LAKE LA KUMPINDUA alimpasulia STRAIGHT TO THE FACTS ambazo Baba wa Taifa alikiri kwamba kweli kuna mahali kulikuwa na MAKOSA NA ni kwa mara ya kwanza BABA WA TAIFA AKAANZA KUONGELEA KUNG'ATUKA au KUACHIA MADARAKA....SIO SIMBA TU isipokuwa Taifa limepoteza KICHWA NA AKILI KUBWA SANA kwani Hanspope alinisimulia KISA CHAKE NA MAREHEMU "CHUMA" akiwa Waziri Offcourse Marehemu nilijiua sana moyoni mwangu kwamba HAKUWAHI KUNIAMINI SIKU ZOTE ALIAMINI KWAMBA NIPO KARIBU NA MAMLAKA kwa hiyo hata aliponipa KISA CHAKE nia na MADHUMUNI ALITAKA TU NIFIKISHE UJUMBE KWA "CHUMA" Baada ya kutangazwa ANATAFUTWA SANA NA MAMLAKA aliporudi toka MIAMI USA kabla hajamFACE CHUMA USO KWA USO ..kuhusu kesi ya VIONGOZI WA SIMBA ambayo alifanikiwa kuipiga JUU KWA JUU...kabla ya kurudi alinipigia mapema na kuniambia "WAAMBIE WASIHANGAIKE SANA NAKUJA MWENYEWE NA SIWAOGOPI" CASE CLOSED!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad