AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahabusu zaidi ya 20 waliokuwa wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Maturubai, Mbagala mkoani Dar es Salaam wametoroka baada ya kumpiga Askari na kuvunja mlango wa chumba cha Mahabusu. Polisi wamesema waliotoroka ni wenye makosa madogo, na wanaendelea kuwatafuta mahabusu hao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK