google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mahabusu zaidi ya 20 Wampiga Askari na Kutoroka Dar es Salaam | UDAKU SPECIAL

Mahabusu zaidi ya 20 Wampiga Askari na Kutoroka Dar es Salaam

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahabusu zaidi ya 20 waliokuwa wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Maturubai, Mbagala mkoani Dar es Salaam wametoroka baada ya kumpiga Askari na kuvunja mlango wa chumba cha Mahabusu. Polisi wamesema waliotoroka ni wenye makosa madogo, na wanaendelea kuwatafuta mahabusu hao.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad